Together We Play, Together We Win.
Tanzania Volleyball Federation fosters a sense of unity and teamwork that makes every victory sweeter. Join our volleyball family and celebrate triumphs together.
Shirikisho la Mpira wa Wavu Tanzania (TVF) limetangaza kalenda yake kamili ya shughuli za mwaka 2026, ikiwa na zaidi ya mashindano 25 ya kitaifa na kimataifa. Kalenda hiyo inajumuisha Ligi ya Taifa (TVNL), Kombe la Taifa, Bingwa wa Afrika kwa wanawake na wanaume, mashindano ya vijana, na shughuli nyingine zinazoendelea katika miji mbalimbali ikiwemo Dar es Salaam, Dodoma, Mwanza, na Zanzibar. Pakua kalenda ili usikose tukio lolote la mpira wa wavu mwaka huu.
TVF imetoa matokeo ya uchunguzi wa sifa za wagombea wa uongozi ambapo baadhi wamepitishwa na wengine wamekatwa. Kamati imetoa utaratibu wa pingamizi na rufaa kwa mujibu wa Kanuni za Uchaguzi.
TVF imetangaza uchaguzi mkuu utakaofanyika tarehe 21 Desemba 2025 jijini Dodoma. Fomu zinapatikana kuanzia tarehe 10 Novemba hadi 24 Novemba 2025 kupitia tovuti ya TVF. Wadau wote wa mpira wa wavu wanahimizwa kushiriki kwa kuchukua na kurejesha fomu kwa wakati.
Word From The PRESIDENT
President, Tanzania Volleyball Federation.



