Category background

Usajili

Blog grid image

Nov 11, 2023

Kufunguliwa Kwa Dirisha la Usajili 2023/24

Chama cha Mpira wa Wavu Tanzania (TAVA) kimefungua dirisha la usajili kwa msimu wa mashindano wa 2023/24, kuanzia tarehe 13/11/2023 hadi 12/12/2023. Maboresho ya kanuni yamefanyika kulingana na mahitaji ya wakati, na usajili utahusisha vilabu, makocha, wachezaji, waamuzi, na taasisi nyingine.

Read News