Feb 1, 2024
Kufunguliwa Kwa Dirisha La Usajili Kwa Vituo Na Shule Za Kulelea Watoto, Taasisi Binafsi, Makocha Na Waamuzi
Shirikisho la Mpira wa Wavu Tanzania – TVF, linawataarifu wadau wote kuwa dirisha la usajili kwa Vituo na Shule za kulelea Watoto, Taasisi binafsi, Makocha na Waamuzi limefunguliwa kuanzia leo tarehe 2/2/2024 hadi tarehe 16/2/2024.
Read News